Wednesday, 16 May 2018

BEI YA MAFUTA YA PETROLI NA DIZELI NCHINI.



NA REGINA PETRO
MAMLAKA ya Udhibiti wa huduma za Nishati na maji (Ewura), imetangaza kushuka kwa bei ya mafuta hayo katika soko la dunia na kupungua kwa gharama za usafirishaj

Vilevile mabadiliko ya bei yamechangiwa na kubadilika kwa kanuni ya kukokotoa bei mafuta nchini ili kujumuisha gharama kwa wakalaza serikali na tozo za huduma za manipaa na jiji kwa wauzaji wa mafuta kwa jumla na rejareja.
Katika taarifa yake Kaimu Mkuugezi mkuu wa Ewera, Nzinyangwe Mchany alisema kuwa kwa mwezi mei mwaka huu, bei za rejareja za petroli zimepungua kwa aslimia 3.80 ambayo ni sh 88 kwa lita, bei ya dizeli imepungua kwa asilimia 2.75 ambayo yanauzwa sh 61 kwa lita huku bei za mafuta ya taa zimeongezaka kwa sh mbili kwa lita sawa na aslimia 0.09.
 
Mkurugezi  akiongea wa Ewera akiwa anzungumza na vyombo vya habari.
Alieleza kuwa hakuna mzigo mpya wa mafuta ulipokelewa nchini kupitia bandari ya Tanga kutokana na mabadiliko ya kanuni za kukokoto bei za mafuta nchini za jumla na rejareja za bidhaa za mafuta mikoa ya kaskazini zimebadilika.
Mchay alisema katika toleo la mei, mwaka huu, bei za rejarea za petroli zimeongezaka kwa sh tatu kwa lita sawa na asilima 0.14,dizeli imeongeka kwa sh 15 kwa lita( sawa na asilima 0.71) kwa mikoa hiyo ya kasikazini
Aidha,ukilinganishwa na toleo la mwezi uliopita bei za jumla za petroli epungua kw ash 9.81 kwa lita( sawa na aslimia 0.46) wakati bei za jumla za dizeli zimeongeza kw ash 1.96 kwa lita( sawa na asilimia 0.10).



 



0 comments:

Post a Comment