Wednesday, 16 May 2018

MVUA YAWATISHIO JIJINI DAR ES SALAAM

Na.luciana  Audax
Dar es salaam
Mvua kubwa ambazo zinaendelea kunyesha katika maeneo mengi nchini Tanzania zimesababisha mafuriko makubwa nauharibifu wa mali jijini Dar es salaam, nakuharibu miundombinu nakua kero kwa baadhi ya maeneo mengi  kufuatia maeneo hayo kujaa maji.
Magari yakiwa yanapita kwenye barabara iliyojaa maji maeneo ya Sinza kijiwe jijini Dar es salaam kufuatia mvua ambazo zinaendelea kunyesha
Kutokana na mvua kunyesha bila kukata imesababisha mafuriko makubwa  maeneo mengi jijini dar e s salaam ikiwemo eneo la jagwani barabara ya morogoro rodi hakuna gari ya kwenda wala kurudi mjini.


Mkuu wa wilaya ya ilala Sophia njema amefika katika eneo hilo nakuwataka  wanachi kuondoka katika maeneo hayo kwasasas kwakua maji  yanaendelea.

0 comments:

Post a Comment