Wednesday, 16 May 2018

WAKAZI WA MBEZI BEACHI (A) WALALAMIKIA MIUNDOMBINU MIBOVU YA BARABARA.



NA ANNA MADALE
Wakazi wa wilaya ya Kinodoni walalamika serikaril ya mtaa wa mbezi beachi A kwa kutokatua swala lao la mda mrefu la miundo mbinu mibovu ya barabara na mitaro.





Moja ya njia ya mbezi beach A hali ikiwa hivi.
Wakazi hao walikutana na serikali yao ya mtaa ili kujua barabara na mitaro zitatengenezwa lini na kuna mikakati gani ambayo itawafanya waamini serikali yao itafanya kazi
Mwenyekiti wa serikaili hiyo Bw. Pantaleo Theodory alisema serikali yao imeandaa bajeti ambayo wataielekeza katika kumwaga vifusi ili kusaidia baadhi ya maeneo ambayo yamekuwa kikwazo kwa wakazi wa enao hilo
 

Mwenyekiti akiwa watatu kushoto katika kikao hicho.
Pia Bw.Theodory alisema wakazi waonyeshe ushirikiano katika maeno yao ambapo gari ya kumwaga vifusi ilikurahishisha kazi hiyo kwenda vzuri ambapo kila mkazi achangie kiasi kidogo ili kurahisha kazi  hiyo, ambayo itaanza hivi karibuni.

0 comments:

Post a Comment