Thursday, 17 May 2018

UCHAGUZI WAPAMBA MOTO TSJ



              

Na Juliani Salvatory

    Uchaguzi wa serikali ya Wanafunzi Time School of Journalism umezidi kupamba moto hii ni baada ya wagombea wa nafasi ya Uraisi chuoni hapo kuendelea na shughuli za kampeni za kunadi sera zao kwa wanafunzi.

Uchaguzi huo unao talajiwa kufanyika siku ya ijumaa ya Tarehe 18-5-2018, unaonekana kuwa na maswal mengi kuhusu nani hatakayeibuka mshindi katika uchaguzi huo hii ni kutokana na wagombea kuwa na sera nzuri za kimaendeleo katika chuo hiko.
Habari Picha-

Mgombea wa nafasi ya Uraisi Rashid Hassan akizungumza na baadhi ya Wanafunzi mapema leo chuoni hapo.

Mgombea wa nafasi ya uraisi Rashid Hassan akiwa katika moja ya darasa chuo hapo akiendelea na shughuli za kampeni.

mgombea wa nafasi ya Uraisi Rashid Hassan katika,akiwana kampeni manager wake kushotoni Edwadi Benson wakati kulia ni Neema Edisoni.

0 comments:

Post a Comment