Thursday, 17 May 2018

IJUE KAULI MBIU YA SIKU YA MAMA 2018

NA AMINA SANGAWE


Siku ya kimataifa ya mama Duniani ilianzishwa rasmi mwaka 2009 na umoja wa mataifa nahuadhimishwa kila mwaka April 22 ili kutoa nafasi ya kuthamini umuhimu wa mama katika hii dunia.
Siku hii maalum kwa kina mama duniani huambatana na kauli mbiu ambayo kwa mwaka huu ni’’SITISHA UCHAFUZI WA MAZINGIRA PLASTIKI’’.kauli hii imetokana na waraka wa Baba mtakatifu Fransisko usemao’’Ujumbe huu ambao umesheheni  mapokeo ya kidini pamoja na ushauri wa kisayansi unaweza kufanyiwa kazi katika ngazi mbalimbali kuanzia kwa watu binfsi,vyama vya kiraia,serikali na mashirika ya kimataifa ili kukuza na kuimarisha mchakato wa maendeleo endelevu,usawa na kuzingatia haki za msingi kibinaadamu.
Siku ya mama duniani huadhimishwa nan chi nyingi ikiwemo Tanzania ,Lengo kuu la kuadhimisha hii siku ni kwaajili ya kumshukuru mama wa familia,pamoja na umama,uzazi wanaopitia pamoja na mchango wao mkubwa katika jamii


0 comments:

Post a Comment