Wednesday, 16 May 2018

KAMPENI KUNG'OA NANGA

Na Khadija Hassan.
Katiika harakati za uchaguziwa uraisi katika chuo cha uandishii wa habarri, TIME SCHOOL OF JOURNALISM imeonesha  kuwa na muamko kwa wanafunzi pamoja na serikali ya wanafunzi TISIJJOSO ambapo kila mgombea ameweza kujinadi kwa sera zake.

 Kinyang’anyiro hicho kinashikiliwa na wagombea watatu katika nafasi ya uraisi,na kila mgombea akijikita zaidi katika maswaala ya elimu na kuboresha mazingira mazuri chuoni hapo.

 Kampeni zimeng’oa nanga leo na uchaguzi ukitegemewa kuwa ijumaa ambapo mbivu na mbinchi itajulikana pindi tu Raiisi atakapojuliikana.

0 comments:

Post a Comment