Na.luciana Audax
Dar es salam
Rais wa serikali ya wanafunzi Jonh Marwa
katika chuo cha uandishi wa habari Tsj jijini dar e s salaam amevunja baraza la mawaziri ilikupisha
chakato wa uchaguzi wa viongozi wengine baada ya baraza hilo
kumaliza mdawake.
![]() |
| Rais wa TSJ |
Akizungumuza
nawanafunzi chuoni hapo marwa ametangaza ametangaza rasmi kulivunja
baraza hilo nakumuachia majukumu mwenyekiti wa tume ya uchaguzi ilikuendesha zoezi la uchaguzi linalofungua nafasi ya
kuchagua serikari nyingine.
Hata hivyo Jonh Marwa amewaomba wanafunzi wengi kushiriki katika zoezi hilo nakuwataka
kukabiriana na changamoto mbalimbali zitakazo wakabili iwapo watachaguliwa kua
viongozi waserikali ya wanafunzi chuoni hapo kwa mwaka 2018-2019

0 comments:
Post a Comment