Wednesday, 16 May 2018

RAIS AJIUZURU RASMI KWAKUPISHA UCHAGUZI MPYA




NA ANNA MADALE
 Rais john marwa wa chuo cha uandishi wa habari time school of journalsm kilichopo ilala jijini dar es salaam  ameachia rasmi uongozi wake kwa kupisha uchaguzi mpya . 




Raisi wa TSJ akiongea na wanafunzi chuoni hapo.                                                                              
Rais huyo aliachia rasmi madaraka juzi ijumaa alipokutana na wanafunzi wa chuo hicho  katika school baraza  ambapo yeye na viongozi wake  kutoa hitimisho la kuitumikia  serikali ya wanafunzi  wa chuo hicho  na kutoa ripoti maalumu  ya mambo yote waliyofanya  pindi walipokuwepo madarakani .

Reporti huyo ilisomwa na waziri mkuu wa chuo hizo mh.Abdala turaha kikoti ambampo alisema mambo makuu walioyatekeleza pindi walipokuwa madarakani ni kujitoa kwa kila jambo, kutangaza chuo(TSJ) na kufanya school bash kuwa ya kipekee .
Baada ya reporti hiyo muhemiwa Raisi alimkaribisha mwenyekiti wa tume mh.Odrin Nickolous kwa ajili ya kutambulisha rasimi wagombea wapya ambampo kampany zitaanza rasimi mnamo tarehe  16 mpaka tareh 17 na uchaguzi utafanyika rasimi tarehe 18 wa kuchagua Raisi pamoja na makamu wake.

0 comments:

Post a Comment