Na
Saumu S. Mohammed.
Wanajamii wa mtaa wa buguruni
waonekana kukerwa na tabia ya watoto wanaokaa pembezoni mwa babara huku
wakionekana kuombaomba wapita njia kwa mujibu wa kujikimu pamoja na wazazi wao.
 |
| watoto ombaomba barabarani |
Wazazi
wa watoto hao husemekeana kuwa
kando ya barabara huku wakiwatuma watoto wao kufanya zoezi hilo bila
kujali kwamba wanaatharisha maisha yao kwa kuwatuma barabarani kwani vyombo vya usafiri vinapita
kwa kasi.
Watoto hao ni wadogo sana kuelewa
usalama wao,kwani wao hutimiza mujibu waliopewa na wazazi wao. Salma ni mmoja
wa watoto hao ambae tulipata fursa ya kuzungumza nae na akasema yeye huamrishwa
na mama yake kufanya hivyo ili aweze kupata chakula cha siku nzima.
"
Mama anaponambia niombe pesa na yeye
hukaa kando kwenye kivuli ili ninapopata pesa hizo nimpelekee aweze kupata ya
matumizi na nsipofanya hivyo mara nyingi tunakaa bila chakula.”
[picha na sadick]
0 comments:
Post a Comment