Na. Luciana Audax
Dar es salaam
Rais wa jamhuri wa muungano wa Tanzania Jonh pombe magufuli ametoa maagizo ma tano kwa watendaji wa wizara
na idara za serikari alipofanya ziara ya kushtukiza saa 6:30 mchana
kufuatilia sakata la mafuta yakula kwenye bandari ya dar es salaam ikiwemokuagiza mafutahayo kutolewa bandarini
haraka.
![]() |
| Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli akiwa bandarini katika ziara ya kushtukiza katika mapipa ya kuhifadhia mafuta ya kula. |
Timuhiyo
ilifanya uchunguzi katika matanki ma43 yenyetani 105,630 za mafuta yakula
ambapo ilibaini kua katiya matanki hayo7 yanamafuta yaliyo boreshwa na 14
mafuta yaliyoboreshwa kiasi
Matokeo ya ripoti hiiyo yameonesha kua tofauti
nataarifa zinazo wasiliswa na TRA


0 comments:
Post a Comment