Wednesday, 16 May 2018

UCHAFFU KUKITHIRI SOKONI

Na Khadija M. Hassan
Soko la Buguruni ni moja kati ya masoko makubwa yanayotegemewa katika jiji la Dar e saalam,kwa serikali kujipatia kipato pia wateja kujipatia mahitaji ya kilasiku.Licha ya yote hayo soko hilo linaonekana kukithiri uchafu kila sehemu .

Mwenyekiti wa soko Said Habib Kondo amesemakuwa soko hilo lina wafanyabiashara  3000 na kila mfanyabiasharra hutoa ushuru wa shilingi 300 hadi 400 kiasi kwamba kwa mwezi wannakusanya kiasi cha shilingi 27,000,000,lakini bado hazisaidii kusafisha soko.

 Kutokana na hali hiyo kunasababisha magojwa ya mripuko kuchukua nafasi kubwa kwa wanunuzi na hata wauzaji wa soko hilo.

0 comments:

Post a Comment