Zikiwa
zimesalia wiki mbili tu kwa baadhi ya wanafunzi wa chuo cha uandishi wa habari,
TIME SCHOOL OF JOURNALISM kufanya
mitihani yao wa mwisho wa muhula . Wanafunzi wameonekana kujituma kwa jitiihada
zao zote pamoja na kukamilisha kazi za walimu.
![]() |
Akiongea nasi Asha John mmoja ya wanafunzi chuoni hapo
amesema kuwa, amefurahishwa sana na kitendo cha walimu kuongeza siku mbele za
kufanya mtihani wao, kwani ndioo wamepata nafansi nzuri yakuweza kujiandaa kwa
ufasaha kabisa.
“Kwa upande wangu mimi nimefurahishwa sana
na kitendo walichokifanya walimu wetu kutuongezea mda tuzidi kujiandaa na
mtihani utakaoanzaa tarehee 28 mwezi huu. Mana ukiangalia baadhi yetu tulikua
hatujakamilisha ada hivyo tusingeweza kufanya mtihani huo.
![]() |
| maandalizi ya mitihani |
Hata hivyo mwalimu mkuu wa chuo hicho Bi.
Blandina Semaganga amewasii wanafunzi wake kujiepusha na kesi za kuibia mtihani
pindi siku zikiwadia na pia kuwatakia
mtihani mwema wanafunzi wote.


0 comments:
Post a Comment