Friday, 18 May 2018

WATU WAWILI WANUSURIKA KATIKA AJALI


Na Shani Seif

Ajali mbaya imetokea asubuhi  hii leo  majira ya saa moja  kaika  Barabara ya Al  Hassan mwinyi eneo la sayansi. Barabara hiyo ambayo ipo katika matengenezo  na bado haijakamilika




Polisi wakiwa wanachunguza ajali


   Wadada wawili wamejikuta gari lao Escudo likigeuka lilikotoka na kuwa miguu juu mbele kabisa la jengo la kituo cha sheria na haki za binadamu  na kupata majeruhi madogo madogo  na mmja wake kukimbizwa hospitali kwa kupata huduma ya kwanza



Gari aina ya Escudo likiwa limepinduka

Mmoja wa majeruhi (kushoto) alienusurika katika ajali hiyo




0 comments:

Post a Comment