Na Shani Seif
Ajali mbaya imetokea asubuhi
hii leo majira ya saa moja kaika
Barabara ya Al Hassan mwinyi eneo
la sayansi. Barabara hiyo ambayo ipo katika matengenezo na bado haijakamilika
![]() |
| Polisi wakiwa wanachunguza ajali |
Wadada wawili wamejikuta gari lao Escudo likigeuka lilikotoka na kuwa miguu juu mbele kabisa la jengo la kituo cha sheria na haki za binadamu na kupata majeruhi madogo madogo na mmja wake kukimbizwa hospitali kwa kupata huduma ya kwanza



0 comments:
Post a Comment