Na Shani Seif
Mchakato wa Uchaguzi unafanyika siku hii ya leo katika chuo cha
Uandishi wa habari cha TIME SCHOOL OF JOURNALISM TSJ . Wanafunzi chuoni humo
wanafanya zoezi la kupiga kura la
kuchagua viongozi ngazi ya Urais na makamo wa urais.
Uchaguzi umesimamiwa kikamilifu na
walimu ,mwenyekiti wa tume pamoja na viongozi ukizingatia usalama na utulivu wa
wanafunzi kufanya zoezi hilo bila vurugu.
![]() |
| Mmoja wa wanafunzi akipiga kura |
![]() |
| Wanafunzi wakijiandaaa kupiga kura |
![]() |
| Chumba cha kupigia kura |
Aidha wanafunzi wameonekana
wakifanya zoezi hilo la kupiga kura kwa utulivu huku wakiwa na shauku kubwa ya
kusubiri matokeo ambayo yanatolewa siku hii ya leo baada ya zoezi la kupiga
kura kukamililka



0 comments:
Post a Comment