Wednesday, 16 May 2018

WANAWAKE WALALAMIKIA MADKATARI KUTOPEWA ELIMU


Na Gladness Mapesa

Wanawake waishio Dar es salaam wilaya ya kinondoni mtaaa wa Tegeta wazo walalamikia madocta kutowapa elimu ya matumizi ya vitamin a kwa watoto wao waliochini ya miaka mitano

pichani mtoto akipata chanjo 

Wakizungumza na Chipukizi wanawake hao wamesema hawajui vitamin a ni nini wala inafaida gani nkwenye miili ya watoto wao

Hivyo wamekuwa wakiwapa vitamin a pasipo kujua umuhimu  wake kwa watoto zaidi yakutimiza wajibu na wengine kutohudhulia humua iyo kwa kuogopa kukalipiwa au kutukanwa na wauguzi hao pindi wapewapo huduma hiyo

Pia waliendelea kwa kusema kwamba wamekuwa kipata wakati mgumu pindi wanapotaka kujua umuhimu wa vitamin a kwa watoto kwa madocta na manesi wamekuwa wakikosa ushirikiano na mwisho kuwapa maneno mabaya ya kuwakatisha tamaa nakuwafanya washindwe kupeleka watoto wao kupata  huduma ya vitamin a kwa watoto walio chini ya miaka mitano

Aidha wanawake hao wameiomba serikali kuwa saidia kuwapa elimu ya kutosha juu ya umuhimu wa vitamin a kwa watoto wao kwani wameshindwa kuhudhulia vizuri huduma hazo kutokana nauelewa hafifu wa umuhimu huo pindi wahudhuliapo huduma hizo.

0 comments:

Post a Comment