Thursday, 17 May 2018

MASELE APANDA CHEO


NA AMINA SANGAWE.

Mbunge wa shinyanga mjini kwa tiketi ya CCM,Stephen Masele amechaguliwa kuwa makamu wa Rais wa Bunge la  Afrika [PAP].

Taarifa hiyo imetolewa mei 11 mwaka huu Bungeni Mjini Dodoma  na mwenyekiti wa Bunge,Andrew Chenge na kubainisha kuwa mbunge huyo kijana amechaguliwa mei 10 mwaka huu.

Cheng amemsifu mbunge huyo kwa utendaji wake mzuri wa kazi na kuongea ‘’umelipa Bunge letu sifa na Tanzania kwa ujumla.Nafasi hii  ni ya kuitangaza nchi yetu na Bunge hili na tunamtakia kazi njema huko aendko.



0 comments:

Post a Comment