Na,Gladness Mapesa
Wakazi wa Bugurini mtaa wa kisiwani wameilalamikia serikali
kutolekebisha miundombinu ya kupitisha majitakanasehemu yakuhifadhia uchafu
kwaajili ya matumizi ya nyumbani
Wakizungumza wakazi hao katika mkutano wao wakila mwezi
unaofanyika kwa mwenyekiti wao wa mtaa bwana Masudy Ally walimlalamikia
kiongozi huyo kwa kuchelewa kutoa uchafu majumbani mwao
Akizungumza na UMOJA BLOG mmoja wa wakazi hao yeye ni mfanyabiashara ya kuuza vitafunwa Bi Mariamu
alisema swala lakuchelewa kuchkuliwa kwa uchafu limekuwa nikero kwa wakazi wa
eneo hilo
“ Ukweli ni kwamba huo unachukua
mu alisema Bi Mariam
da mrefu sana hadikuja kubebwa hivyo huleta harufu mbaya katika banda lake
jambo ambalo linasababisha kupoteza baadhi ya wateja wangu kwa kuhofia magonjwa
ya mlipuko”
Pia akizungumza mkazi mwingine
ambae hakutaka kutajajina lake aliongeza kuwa
tatizo linguine nikuto funukwa kwa mtaro uliopita karibu na nyumba yake
hivyo umekuwa ukimpa wakati mgumu kwa motto wake wa miaka miwili amekuwa
akitumbukia kwenye mtaro huo kwaajili ya kuchezea maji nakuokota makopo yanayopita katika mtaro huo
Amesema haliiyo inampelekea
wasiwasi kwa maisha ya motto wake asije
akapoteza maisha kwakukosa uangalifu endapo hatokuwa nyumbani
Wakati huohuo mwenyekiti Bwana
Masudy Ally Alisema changamoto inayo
wakabili ni kuchelewa kutoapesa kwaajilin ya kubebewa uchafu na wengine kugoma
nakutokulipa pesa izo Mwenyekiti huyo yeye alizitupia lawama ngazi ya manispaa
kwa ujumla ambapo alisema wao ndio wenye dhaman ya kisimamia swala zima la
miundombinu ya mtaa kwani wao ndio hukusanya pesa kwa wananchi kwaajili
yakufanya marekebisho kwaajili ya miundombinu
Hivyo mwenyekiti pamoja na wakazi
wa Buguruni kisiwani kwa ujumla wameitaka serikali kutimiza ahadi yao walio
waahidi wakati wa uchaguzi kwani miundombinu hiyo inawapa shida
na kuwafanya wananchi we ngine waugue magonjwa ya mlipuko na kuwapelekea hofu
ya kupata magongwa ya mlipuko kwa
mazingira machafu yanao wazunguka.

0 comments:
Post a Comment