Na. Pamela chamafwa
Dar es
salaam .
Zoezi la uchaguzi wa serikari ya wanafunzi katika chuo cha uandishi wa
habari Tsj limeendelea kuwa pasua kichwa baada ya
kampeni za wagombea kupamba moto
Wagombea watatu
wana chuana vikali katika nafasi ya uraisi
na wagombea wa wili katika nafasi ya umakamu wa urais wanao shiriki
katika nafasi ya Rais ni Kulwa Karedia Jacton, Abdulrahman Kinana, na Rashidi
Rashidi huku nafasi ya makamu wa uraisi ikiwaniwa na Aisha Charlse pamoja na Mohamed Ng’oula
Badhi ya
wanafunzi chuoni hapo akiwemo Richard
Deo wamesema nivigumu kutabiri ni mgombea gani atakae weza kuibuka mshindi
kutokana na kampeni zinazoendelea
Zoezi hilo
la uchaguzi litahitimishwa may 18 ambapo wanafunzi wote watajumuika kupiga kura
ili kuwachagua rais na makamu wa rais kama ilivyoanishwa na tume ya uchaguzi
chini ya mwenyekiti odrian niclous




0 comments:
Post a Comment