Thursday, 17 May 2018

UCHAGUZI WATIKISA CHUO CHA UANDISHI TSJ

Na. Pamela chamafwa  
Dar es salaam .
Zoezi  la uchaguzi wa serikari  ya wanafunzi katika chuo cha uandishi wa habari  Tsj  limeendelea kuwa pasua kichwa baada ya kampeni  za wagombea kupamba moto

Wagombea watatu wana chuana vikali katika nafasi ya uraisi  na wagombea wa wili katika nafasi ya umakamu wa urais wanao shiriki katika nafasi ya Rais ni Kulwa Karedia Jacton, Abdulrahman Kinana, na Rashidi Rashidi huku nafasi ya makamu wa uraisi ikiwaniwa na  Aisha Charlse pamoja na Mohamed Ng’oula




Badhi ya wanafunzi  chuoni hapo akiwemo Richard Deo wamesema nivigumu kutabiri ni mgombea gani atakae weza kuibuka mshindi kutokana na kampeni zinazoendelea


Zoezi hilo la uchaguzi litahitimishwa may 18 ambapo wanafunzi wote watajumuika kupiga kura ili kuwachagua rais na makamu wa rais kama ilivyoanishwa na tume ya uchaguzi chini ya mwenyekiti odrian niclous  

0 comments:

Post a Comment