Thursday, 17 May 2018

UDART YISHTAKI SERIKALI


NA AMINA SANGAWE


Kampuni ya mradi wa usafirishaji ya mabasi ya mwendo kasi[UDART]imefungua kesi mahakamani dhidi ya serikali kupinga kitendo cha kuletwa mwekezaji mpya.

Hatua ya serikali kutafuta mwekezaji mwingine imetangazwa Mei 10 mwaka huu na Waziri  MkuuKasim Majaliwa akiwa Bungeni baada ya kampuni hiyo kuonekana kusuasua katika utendaji wa mradi huo.

Bila kusahau kampuni ya Udart imewahi kufunguliwa kesi ya madai mahakamani na kampuni ya Maxam wiki tatu zilizopita kwa kushindwa kulipa gharama za uendeshaji,uwekezaji na haki stahiki za wafanyakazi.


0 comments:

Post a Comment