Friday, 18 May 2018

MAJALIWA ATOA AGIZO KUHUSU MAFUTA

Na. Pamela chamafwa
Dar es salaam.

Waziri mkuu wa jamhuri  ya muungano wa Tanzania mh.kassimu majaliwa amehitimisha mjadala wa kuwataka wafanyabiashara  wote hapo nchini kuingiza mafuta hayo sokoni ndani ya saa 72 .
Majaliwa ametoa agizo hilo baada ya spika wa bunge joh ndungai kuitaka serikali kueleza ufumbuzi wa tatizo la kuadimika kwa mafuta na kukwama kwa meli za mafuta bandarini kutokana na tatizo la kodi.

Waziri mkuu Kassim Majaliwa


Kwa upande wake waziri wa viwanda biashara na uwekezaji Charles mwaijage amesema mahitaji ya mafuta nchini ni kati ya tani laki 4 hadi 4 na nusu kwa mwaka huku vyanzo vya mafuta hapa nchini ikiwa ni asilimia 30 pekee.

0 comments:

Post a Comment