Wednesday, 16 May 2018

MVUA KUZOROTESHA BIASHARA.

Na. Saumu S. Mohammed
 Wanabiashara wengi walalamikia swala la ukosefu wa wateje  masokoni na sababu kuu ikiwa ni mvua inayoendelea kunyesha katika mji wa Da r esalam.Ikiwa ni msimu wa mvua sasa wauzaji wengi wanakosa sehemu za kufanyia biashara zao kwani hawana sehem nzuri za kuhifadhi biashara zao.

Nikiongea na mmoja ya wafanyiibiashara hao Amos  amesema biashara hiiyo ndio inayomuwezesha yeye kujikimu pamoja na familia yake.

“Biashsra  ndio inayoniingizia kipato chakuweza kujikimu mimi  na familia yangu kwani kazi za kuajiriwa nimekosa. Lakini tangu kuanza mvua nimekua na changamoto nying.i Ambapo faida hamna kama mwanzoni kwani sasahivi  wateja wamepungua na vilevile pia hakuna sehemu nzuri ya kufanyia biashara.”
Wafanyabiashara wa soko la buguruni wakiendelea na biashara zao katika soko hilo.
Amos pia ametoa ushauri kwa wafanyibiashara wenzake wasikatetama kwani huu ni msimu tu unapita kwaio usiwakatishe tama na kuwakoosesha  amani yote yatakaa saa baada ya mda huu kupita.

0 comments:

Post a Comment