Wednesday, 16 May 2018

WAGOMBEA WANADI SERA ZAO




NA ANNA MADALE
Wagombea wanao nadi sera zao katika chuo cha uaandishi wa habari time school of journalism (TSJ) wamekuwa chachu kwa wasikilzaji ambapo wanafunzi wameonyesha ushirikano mzuri kwa wagombea.




Mgombea Rashid Hassan Rashid amewaambia wanafunzi wa chuo hicho kuwa atafanya mabadiliko makubwa endapo watamchagu kuwa Rais wa chuo hicho, mabadaliko hayo ni kama kuwakikisha pesa za tharura zinatumika ipasavyo na kusimamia kikamilifu swala zima la elimu na nithamu kwa kila mwanafunzi.
 
Wanafunzi wakiwa wanasikiliza sera za wagombea wao.
Pia mgombea Abdurahmani Kinana aliwaambia wanafunzi wa chuo hicho endapo watamchagua kuwa Raisi wa chuo kwa mwaka huu atarekebisha katiba 89% ili chama cha tisojoso kibaki kuwa huru kwa miaka ya badaye
Wagombea wenge wamenadi sera zao kwa kuwaambia wanafunzi endapo watawachagua watatekeleza kila jambo ambalowameahidi  mbele ya wanafunzi  na kuyafanyia kazi.  


0 comments:

Post a Comment