Thursday, 17 May 2018

NA :KHADIJA M HASSAN

  • MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA JIJINI 

Hivi ndivyo hali ilivyokatika maeneo meng jijini dar es salaam kutokana na mvua zinazo endelea kunyesha
kwa mujibu wa mamlaka ya ha li ya hewa imesema kua mvua zinazozidi milimeta 50 kwa saa 24 itaendelea kunyesha katika maeneo ya ukanda wa pwani ikiwemo dar es salaam na visiwa vya unguja na pemba hali hiyu inatokana na kuimarika kwa ukanda wa mvua
Hai ni kama ilivyo njia hazipitiki

baadhi ya nyumba za kinondoni kwa msisiri zikiwa zimezungukwa na maji kila pembe

0 comments:

Post a Comment